Mkombozi wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe
Juhudi nyingi zinafanyika ili kuhakikisha mwanamke anakuwa na maendeleo, ila pia vipo vikwazo vingi ambavyo vinasababisha hilo lifanyike polepole sana.
Ninyi na mimi tumekuwa mashahidi na kushuhudia suala hili likiwakandamiza sana wanawake katika harakati zao za kujikwamua kimaisha. soma hapa.
1 Maoni ya Wasomaji:
Wanawake wengi wanaoteseka wako vijijini. Serikali ingefanya bidii hizi sheria za wanawake ziweze kufundishwa madarasani, ili kila mwanamke aweze kujua haki yake mapema. Kuandika sheria kwenye vitabu pekeyake, haitoshi. Nchi changa kama Tanzania inahitaji watu waelimishwe kuhusu haki zao toka shule za msingi. Baada ya miaka michache kila mtu atajua haki yake. Hata wanaume nao watajua kuwa wanawake wana haki.
Thank you, this ia a good post
Post a Comment
<< Rudi mwanzo